Hesabu 11:24 BHN

24 Basi, Mose akaenda na kuwajulisha watu yale aliyosema Mwenyezi-Mungu. Kisha, akakusanya wazee sabini kutoka miongoni mwa wazee viongozi nao akawaweka kandokando kuizunguka hema.

Kusoma sura kamili Hesabu 11

Mtazamo Hesabu 11:24 katika mazingira