Hesabu 11:31 BHN

31 Baadaye Mwenyezi-Mungu akavumisha upepo kwa ghafla, ukaleta kware kutoka baharini na kuwafanya watue kando ya kambi, mwendo wa siku moja hivi kila upande kuizunguka kambi, wakarundikana chini karibu kimo cha mita moja hivi.

Kusoma sura kamili Hesabu 11

Mtazamo Hesabu 11:31 katika mazingira