Hesabu 11:33 BHN

33 Kulipokuwa bado kuna nyama kwa wingi na kabla watu hawajawamaliza kuila, Mwenyezi-Mungu aliwakasirikia watu, akawapiga watu kwa pigo kubwa sana.

Kusoma sura kamili Hesabu 11

Mtazamo Hesabu 11:33 katika mazingira