Hesabu 16:22 BHN

22 Lakini Mose na Aroni wakajitupa chini kifudifudi na kusema, “Ee Mwenyezi-Mungu uliye asili ya uhai wa binadamu wote. Je, mtu mmoja akikukosea, utaikasirikia jumuiya nzima?”

Kusoma sura kamili Hesabu 16

Mtazamo Hesabu 16:22 katika mazingira