Hesabu 22:22 BHN

22 Hasira ya Mungu iliwaka kwa sababu Balaamu alikuwa anakwenda; hivyo malaika wa Mwenyezi-Mungu akakabiliana naye njiani. Wakati huo Balaamu alikuwa amepanda punda wake akiwa na watumishi wake.

Kusoma sura kamili Hesabu 22

Mtazamo Hesabu 22:22 katika mazingira