8 Mungu aliwachukua kutoka Misri,naye huwapigania kwa nguvu kama nyati.Atayateketeza mataifa yaliyo adui zao,atavunjavunja mifupa yao,atawachoma kwa mishale yake.
Kusoma sura kamili Hesabu 24
Mtazamo Hesabu 24:8 katika mazingira