Hesabu 33:1 BHN

1 Vifuatavyo ni vituo ambavyo Waisraeli walipiga kambi walipotoka Misri wakiwa katika makundi ya makabila yao chini ya uongozi wa Mose na Aroni.

Kusoma sura kamili Hesabu 33

Mtazamo Hesabu 33:1 katika mazingira