Hesabu 9:11 BHN

11 mtu kama huyo anaruhusiwa kufanya hivyo mwezi mmoja baadaye, jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili. Ataiadhimisha kwa kula mikate isiyotiwa chachu na mboga chungu.

Kusoma sura kamili Hesabu 9

Mtazamo Hesabu 9:11 katika mazingira