8 Malaika akamwuliza, “Hagari, mjakazi wa Sarai! Unatoka wapi na unakwenda wapi?” Hagari akamjibu, “Namkimbia bimkubwa wangu Sarai.”
Kusoma sura kamili Mwanzo 16
Mtazamo Mwanzo 16:8 katika mazingira