Mwanzo 24:54 BHN

54 Mtumishi wa Abrahamu na watu aliokuja nao wakala, wakanywa na kulala huko. Walipoamka asubuhi, mtumishi yule akasema, “Naomba kurudi kwa bwana wangu.”

Kusoma sura kamili Mwanzo 24

Mtazamo Mwanzo 24:54 katika mazingira