Mwanzo 25:22 BHN

22 Mimba hiyo ilikuwa ya mapacha. Watoto hao wakashindana tumboni mwake Rebeka, naye akasema, “Kama hivi ndivyo mambo yalivyo, ya nini kuishi?” Basi, akaenda kumwuliza Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Mwanzo 25

Mtazamo Mwanzo 25:22 katika mazingira