Ezekieli 13:14 BHN

14 Nitaubomolea mbali huo ukuta mlioupaka chokaa, na msingi wake utakuwa wazi. Ukuta huo ukianguka, mtaangamia chini yake. Ndipo mtakapotambua mimi ni Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 13

Mtazamo Ezekieli 13:14 katika mazingira