Ezekieli 13:21 BHN

21 Nitazirarua shela zenu na kuwaokoa watu wangu mikononi mwenu; nao hawatakuwa tena mawindo mikononi mwenu. Ndipo mtakapotambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 13

Mtazamo Ezekieli 13:21 katika mazingira