Ezekieli 21:21 BHN

21 Mfalme wa Babuloni anasimama mwanzoni mwa hizo njia mbili, kwenye njia panda, apate kupiga bao. Anatikisa mishale, anaviuliza shauri vinyago vya miungu yake na kuchunguza maini ya mnyama.

Kusoma sura kamili Ezekieli 21

Mtazamo Ezekieli 21:21 katika mazingira