26 Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nakuambia hivi: Vua kilemba chako na taji yako kwani mambo hayatabaki kama yalivyokuwa. Walio chini watakwezwa, walio juu watashushwa!
Kusoma sura kamili Ezekieli 21
Mtazamo Ezekieli 21:26 katika mazingira