Ezekieli 36:31 BHN

31 Kisha mtakapokumbuka mienendo yenu miovu na matendo yenu mabaya, mtajichukia wenyewe kwa sababu ya maovu yenu na machukizo mliyofanya.

Kusoma sura kamili Ezekieli 36

Mtazamo Ezekieli 36:31 katika mazingira