Hesabu 24:10 BHN

10 Balaki akawaka hasira dhidi ya Balaamu, akakunja mikono kwa ghadhabu na kumwambia, “Nilikuita uwalaani adui zangu, lakini mara hizi zote tatu umewabariki!

Kusoma sura kamili Hesabu 24

Mtazamo Hesabu 24:10 katika mazingira