Hesabu 9:13 BHN

13 Lakini mtu yeyote ambaye ni safi au hayumo safarini, asipoiadhimisha sikukuu ya Pasaka, atatengwa na watu wake kwa kuwa hakunitolea sadaka kwa wakati uliopangwa. Ni lazima aadhibiwe kwa ajili ya dhambi yake.

Kusoma sura kamili Hesabu 9

Mtazamo Hesabu 9:13 katika mazingira