Yeremia 12:6 BHN

6 Hata ndugu zako, jamaa yako mwenyewe,nao pia wamekutendea mambo ya hila;wanakukemea waziwazi.Usiwaamini hata kidogo,japo wanakuambia maneno mazuri.”

Kusoma sura kamili Yeremia 12

Mtazamo Yeremia 12:6 katika mazingira