3 Kesho yake asubuhi, Pashuri alipomtoa Yeremia katika mkatale huo, Yeremia alimwambia hivi: “Mwenyezi-Mungu hakuiti tena Pashuri, bali ‘Kitisho Pande Zote’.
Kusoma sura kamili Yeremia 20
Mtazamo Yeremia 20:3 katika mazingira