Yeremia 22:25 BHN

25 Nitakutia mikononi mwa wale wanaotaka kuyamaliza maisha yako; naam, mikononi mwa wale unaowaogopa, mikononi mwa Nebukadneza, mfalme wa Babuloni; naam, mikononi mwa Wakaldayo.

Kusoma sura kamili Yeremia 22

Mtazamo Yeremia 22:25 katika mazingira