Yeremia 22:4 BHN

4 Kama mkishika neno hili nililowaambia basi, wafalme wanaokikalia kiti cha enzi cha Daudi wataendelea kuingia kwa kupitia malango ya ikulu hii. Watapita pamoja na watumishi wao na watu wao, wakiwa wamepanda farasi na magari ya farasi.

Kusoma sura kamili Yeremia 22

Mtazamo Yeremia 22:4 katika mazingira