Yeremia 3:10 BHN

10 Pamoja na hayo yote, Yuda, dada mdanganyifu wa Israeli, hakunirudia kwa moyo wote, bali kwa unafiki tu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Kusoma sura kamili Yeremia 3

Mtazamo Yeremia 3:10 katika mazingira