Yeremia 34:16 BHN

16 Lakini baadaye mligeuka, mkalitia unajisi jina langu, wakati mlipowachukua tena watumwa walewale wa kiume na wa kike ambao mlikuwa mmewaachia kama walivyotaka, mkawalazimisha kuwa watumwa tena.

Kusoma sura kamili Yeremia 34

Mtazamo Yeremia 34:16 katika mazingira