Yeremia 4:22 BHN

22 Mwenyezi-Mungu asema:“Watu wangu ni wapumbavu,hawanijui mimi.Wao ni watoto wajinga;hawaelewi kitu chochote.Ni mabingwa sana wa kutenda maovu,wala hawajui kutenda mema.”

Kusoma sura kamili Yeremia 4

Mtazamo Yeremia 4:22 katika mazingira