Yeremia 42:4 BHN

4 Yeremia akawajibu, “Vema; nimesikia. Nitamwomba Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, kama mlivyonisihi; jibu lolote atakalonipa Mwenyezi-Mungu, nitawaambieni; sitawaficha chochote.”

Kusoma sura kamili Yeremia 42

Mtazamo Yeremia 42:4 katika mazingira