Yeremia 43:4 BHN

4 Basi, Yohanani mwana wa Karea na makamanda wote wa majeshi pamoja na watu wote hawakutii aliyosema Mwenyezi-Mungu, kwamba wabaki katika nchi ya Yuda.

Kusoma sura kamili Yeremia 43

Mtazamo Yeremia 43:4 katika mazingira