Yeremia 50:37 BHN

37 Kifo kwa farasi wake na uharibifu kwa magari yake,kifo kwa majeshi yake yote ya kukodiwa,ili wawe na woga kama wanawake!Uharibifu kwa hazina zake zoteili zipate kuporwa.

Kusoma sura kamili Yeremia 50

Mtazamo Yeremia 50:37 katika mazingira