Yeremia 51:19 BHN

19 Mungu aliye hazina ya Yakobo si kama hizo,maana yeye ndiye aliyeviumba vitu vyote,na Israeli ni kabila lililo mali yake;Mwenyezi-Mungu wa Majeshi, ndilo jina lake.

Kusoma sura kamili Yeremia 51

Mtazamo Yeremia 51:19 katika mazingira