64 ‘Hivi ndivyo mji wa Babuloni utakavyozama, wala hautainuka tena, kwa sababu ya maafa ambayo Mwenyezi-Mungu anauletea.’” Mwisho wa maneno ya Yeremia.
Kusoma sura kamili Yeremia 51
Mtazamo Yeremia 51:64 katika mazingira