Yeremia 13:25 BHN

25 Mwenyezi-Mungu asema:“Hayo ndiyo yatakayokupata,ndivyo nilivyoamua kukutenda mimi Mwenyezi-Mungu,kwa sababu umenisahau mimi,ukaamini miungu ya uongo.

Kusoma sura kamili Yeremia 13

Mtazamo Yeremia 13:25 katika mazingira