Yeremia 15:1 BHN

1 Kisha Mwenyezi-Mungu akaniambia: “Hata kama Mose na Samueli wangesimama mbele yangu na kunisihi, nisingewahurumia watu hawa. Waondoe kabisa mbele yangu. Waache waende zao!

Kusoma sura kamili Yeremia 15

Mtazamo Yeremia 15:1 katika mazingira