Yeremia 15:6 BHN

6 Nyinyi mmenikataa mimi, nasema mimi Mwenyezi-Mungu;nyinyi mmeniacha mkarudi nyuma.Hivyo nimenyosha mkono kuwaangamiza,kwa kuwa nimechoka kuwahurumia.

Kusoma sura kamili Yeremia 15

Mtazamo Yeremia 15:6 katika mazingira