12 Ee Mwenyezi-Mungu wa majeshi,wewe humthibiti mtu mwadilifu,huona yaliyo moyoni na akilini mwa watu,unijalie kuona ukiwalipiza kisasi,maana kwako nimekiweka kisa changu.
Kusoma sura kamili Yeremia 20
Mtazamo Yeremia 20:12 katika mazingira