Yeremia 20:7 BHN

7 Ee Mwenyezi-Mungu, wewe umenidanganya,nami kweli nikadanganyika;wewe una nguvu kuliko mimi,nawe umeshinda.Kutwa nzima nimekuwa mtu wa kuchekwa,kila mtu ananidhihaki.

Kusoma sura kamili Yeremia 20

Mtazamo Yeremia 20:7 katika mazingira