Yeremia 21:10 BHN

10 Nimeamua kuuletea mji huu maafa na sio mema, nasema mimi Mwenyezi-Mungu. Nitautia mikononi mwa mfalme wa Babuloni, naye atauteketeza kwa moto.

Kusoma sura kamili Yeremia 21

Mtazamo Yeremia 21:10 katika mazingira