Yeremia 23:12 BHN

12 Kwa hiyo njia zao zitakuwa vichochoro vya utelezi gizaniambamo watasukumwa na kuanguka;maana, nitawaletea maafa,ufikapo mwaka wa kuwaadhibu,Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Yeremia 23

Mtazamo Yeremia 23:12 katika mazingira