Yeremia 23:5 BHN

5 “Tazama, siku zaja nitakapomchipushia Daudi chipukizi adili. Huyo atatawala kama mfalme, na atatenda kwa busara, haki na uadilifu katika nchi.

Kusoma sura kamili Yeremia 23

Mtazamo Yeremia 23:5 katika mazingira