Yeremia 26:13 BHN

13 Sasa basi, rekebisheni mienendo yenu na matendo yenu na kutii sauti ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu. Mkifanya hivyo, Mwenyezi-Mungu atabadili nia yake na kuacha kuwaletea maafa aliyotamka dhidi yenu.

Kusoma sura kamili Yeremia 26

Mtazamo Yeremia 26:13 katika mazingira