Yeremia 28:16 BHN

16 Kwa hiyo Mwenyezi-Mungu asema kwamba atakuondoa duniani. Mwaka huuhuu utakufa, kwa sababu umewaambia watu wamwasi Mwenyezi-Mungu.”

Kusoma sura kamili Yeremia 28

Mtazamo Yeremia 28:16 katika mazingira