Yeremia 3:8 BHN

8 Zaidi ya hayo, Yuda alishuhudia kuwa nilimpa Israeli talaka kwa sababu ya ukahaba wake na kwa kukosa uaminifu kwangu. Lakini hata hivyo, Yuda, dada yake mdanganyifu, hakuogopa; naye pia alikwenda na kufanya ukahaba!

Kusoma sura kamili Yeremia 3

Mtazamo Yeremia 3:8 katika mazingira