Yeremia 31:16 BHN

16 Sasa, acha kulia,futa machozi yako,kwani utapata tuzo kwa kazi yako,mimi Mwenyezi-Mungu nimesema;watoto wenu watarudi kutoka nchi ya maadui zenu.

Kusoma sura kamili Yeremia 31

Mtazamo Yeremia 31:16 katika mazingira