Yeremia 31:20 BHN

20 “Efraimu ni mwanangu mpendwa;yeye ni mtoto wangu nimpendaye sana.Ndio maana kila ninapomtisha,bado naendelea kumkumbuka.Moyo wangu wamwelekea kwa wema;hakika nitamhurumia.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Yeremia 31

Mtazamo Yeremia 31:20 katika mazingira