Yeremia 31:9 BHN

9 Watarudi wakiwa wanatoa machozi,nitawarudisha nikiwafariji;nitawapitisha kando ya vijito vya maji,katika njia iliyonyoka ambamo hawatajikwaa;maana mimi nimekuwa baba wa Israeli,Efraimu ni mzaliwa wangu wa kwanza.

Kusoma sura kamili Yeremia 31

Mtazamo Yeremia 31:9 katika mazingira