Yeremia 35:11 BHN

11 Lakini Nebukadneza, mfalme wa Babuloni alipofika, kuishambulia nchi hii, tuliamua kuja Yerusalemu ili tuliepe jeshi la Wakaldayo na la Waashuru. Kwa hiyo sasa tunaishi mjini Yerusalemu.”

Kusoma sura kamili Yeremia 35

Mtazamo Yeremia 35:11 katika mazingira