Yeremia 35:14 BHN

14 Ile amri ambayo Yonadabu mwana wa Rekabu, aliwapa wanawe, kwamba wasinywe divai, imefuatwa; nao hawanywi divai mpaka siku hii ya leo, maana wametii amri ya mzee wao. Lakini mimi niliongea nanyi tena na tena, nanyi hamkunisikiliza.

Kusoma sura kamili Yeremia 35

Mtazamo Yeremia 35:14 katika mazingira