Yeremia 38:16 BHN

16 Hapo, mfalme Sedekia alimwapia Yeremia kwa siri akisema, “Kama aishivyo Mwenyezi-Mungu aliyetupa uhai, sitakuua wala sitakutia mikononi mwa hawa wanaotaka kukuua.”

Kusoma sura kamili Yeremia 38

Mtazamo Yeremia 38:16 katika mazingira