Yeremia 38:6 BHN

6 Basi, wakamchukua Yeremia wakamtumbukiza katika kisima cha Malkia mwana wa mfalme ambacho kilikuwa katika ukumbi wa walinzi. Walimshusha Yeremia ndani kwa kamba. Ndani ya kisima hicho hakukuwa na maji bali tope, naye Yeremia akazama katika tope.

Kusoma sura kamili Yeremia 38

Mtazamo Yeremia 38:6 katika mazingira