Yeremia 4:11 BHN

11 Wakati huo, wataambiwa hivi watu hawa pamoja na mji wa Yerusalemu, “Upepo wa hari kutoka vilele vikavu vya jangwani utawavumia watu wangu. Huo si upepo wa kupepeta au kusafisha,

Kusoma sura kamili Yeremia 4

Mtazamo Yeremia 4:11 katika mazingira