Yeremia 41:8 BHN

8 Lakini palikuwa na watu kumi katika kundi hilo waliomwambia Ishmaeli: “Tafadhali usituue, maana tuna akiba kubwa ya ngano, shayiri, mafuta na asali ambayo tumeificha mashambani.” Basi hao akawaacha hai.

Kusoma sura kamili Yeremia 41

Mtazamo Yeremia 41:8 katika mazingira